Wednesday, September 26, 2012

SEMINA YA NENO LA MUNGU INAYOENDELEA VIWANJA VYA JANGWANI NA MTUMISH WA MUNGU MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE

 Ikiwa ni siku ya nne ya semina ya neno la Mungu inayoendelea katika viwanja vya jangwani Dar es salaam
mtumishi wa Mungu Mwakasege anaendelea kukukaribisha kuja kijifunza neno la Mungu na kupokea muujiza wako , anaendelea kuwa karibisha wakazi wote wa Dar lakini pia unaweza kuungana nae popote pale ulipo duniani kupitia radio na website hizo hapo chini ,
 !!Karibu ujiunge nasi kusikiliza neno la Mungu inayoendelea hapa jijini Dar es salaam kupitia redio wapo,redio sauti ya injili,redio upendo,www.mwakasege.org,www.kicheko.com na www.sautiyainjili.org.Semina itarushwa live kwanzia saa kumi hadi saa kumi na mbili jioni,kwanzia tarehe 23 September 2012 hadi jumapili tarehe 30 september 2012.Mwambie na mwenzako!Mungu awabariki!!

No comments:

Post a Comment