Thursday, August 18, 2011

Wednesday, August 17, 2011

Tuesday, August 16, 2011

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeu5Tt7_7ePtgHg9HuLqBqcTeCNtEQ-3FuEj-Mp8T3Ge4looOUXJPioFIb8vHyS0jrud6FqSl2kxOlUN8XVqCs18VBNl_W70Sk1y7qK9JCnJc8m8mpO-GltyDJCKRsz_fnbKazvKSuRrQV/s400/PM.jpg

PETER MSECHU (TANZANIA) - WINNER TUSKER ALL STARS - 2011

Shindano la Tusker All Stars lililoanza 26 June,2011 limefikia fainali jana tarehe 14 August,2011 kwa washindi watatu kupatikana

Alpha Rwirangira toka Rwanda (TPF 3 - Winner),Peter Msechu toka Tanzania (Mshindi wa 2 – TPF 4) na Davis Ntare toka Uganda (TPF 4 – Winner) wameibuka washindi na wamepata shavu la kupiga show same stage na wasanii wa kimataifa baadaye mwaka huu nchini Kenya....

Washiriki wengine walikua Hemedi Suleiman toka Tanzania,Caroline Nabulime na Amileena Mwenesi toka Kenya,Bernard Ng'ang'a na Patricia Kihoro toka Kenya walishiriki na walikaa wiki 8 na Ma Mc walikua ni Prezentaz maarufu Eve D'Souza toka Kenya na Gaetano Kagwa toka Uganda na mbali na washindi hao 3 kupata shavu la ku-share stage moja na wasanii wa kimataifa,haijafunguliwa kama watapata zawadi au vp....!