Saturday, August 25, 2012

SENSA KWA MAENDELEO JIANDAE KUHESABIWA KUANZIA USIKU WA LEO

Senhi sa ya watu na makazi kwa ajiri ya maendeleo ya nchi na wananchi itaanza
rasmi leo katika maeneo yote ya Tanzania wito wa serikali kwa jamii ni kuwasihi
kutoa ushirikiano ili kuhakikisha wanapata idadi kamili ya wananchi wake lakini
pia na wageni wanaoishi ndani ya Tz.
jamii inaombwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwa kukuballi kuhesabiwa mara moja
na pia kutoa idadi ya kweli ili kuhakikisha zoezi hili litakalo dumu ndani ya siku  saba
kufanikiwa na bila kuwa na vipingamizi vyovyote.
pia serikali inatoa wito kwa viongozi wa dini kuwahamasisha waumini wao kushiriki
katika zoezi zima lakuhesabiwa na bila kuhusisha imani za kidini katika zoezi hili.

No comments:

Post a Comment