Wednesday, August 22, 2012

SENSA YA WATU TANZANIA USIKU WA TAR 25 KUAMKIA 26

Je Utamjuaje Karani wa sensa? Karani wa sensa atafika katika eneo la kuhesabiwa watu akiwa na kitambilisho na atakuwa amevaa sare maalum zitakazomtambulisha. Vile vile atakuwa ameongozana na kiongozi wa eneo unaloishi.

No comments:

Post a Comment