Thursday, June 21, 2012



                                                                                                                                                                MWNJILISTI Kabula George, anatarajia kugawa DVD za albamu ya Nitang’ara Tu kwa kila mtu atakayeingia kwenye Ukumbi wa kanisa la TAG Magomeni Mikumi Julai 8, mwaka huu wakati wa uzinduzi wake.

Akizungumza na gazeti hili Dar es Salaam jana, Mwinjilisti Kabula alisema ameamu kuweka utaratibu huo, ili kila mtu atakayeingia ukumbini humo aondoke na DVD kwa kuchangia kiasi cha sh. 5,000.

Mwinjilisti Kabula alisema tayari DVD hizo tayari zinapatikana katika maduka mbalimbali yaliyoteuliwa jijini Dar es Salaam.

DVD hizo pia zinapatikana katika mikoa mbalimbali ukiwemo Mwanza, Arusha, Dodoma na Kahama mjini.

Amewataka mashabiki wake kununua DVD halisi ili wanufaike na ubora wa nyimbo hizo, ambazo zinamafundisho kwa kila anayeziangalia

Saturday, June 16, 2012

 Mtumishi wa Mungu johannes akihubiri

 Sherehe hizo za Ishara na miujiza zinaendelea leo njoo wewe walete na wengine walete wagonjwa na wenye shida mbalimbali mungu atawafungua. sherehe hizo zinatarajiwa kuisha Jumapili usitamani kukosa. vilevile mahubiri hayo yanrushwa moja kwa moja na redio wapo unaweza kusikiliza popte ulipo duniani

LIVING GOSPER MINISTRY:

LIVING GOSPER MINISTRY: viva shusho viva

LIVING GOSPER MINISTRY:

LIVING GOSPER MINISTRY:

LIVING GOSPER MINISTRY: Breaking News Tamasha la Injili La Dar Live Laota ...

LIVING GOSPER MINISTRY: Breaking News Tamasha la Injili La Dar Live Laota ...: Breaking News Tamasha la Injili La Dar Live Laota Mbawa Habari za Uhakika Blog hii iliyozipata punde baada ya kuwasiliana na Waandaaji na Wa...
Breaking News Tamasha la Injili La Dar Live Laota Mbawa
Habari za Uhakika Blog hii iliyozipata punde baada ya kuwasiliana na Waandaaji na Washiriki wa Tamasha hilo wamethibitisha kuwa Tamasha hilo "imeota mbawa" halipo tena siku ya Jumapili Mpaka wakati litakapotangazwa tena.


Blog ilipotaka kufahamu ni kwanini Tamasha hilo lilo limehairishwa dakika za mwishoni, wahusika hawakuwa tayari kuliweka bayana zaidi ya kueleza kuwa "taratibu zilikuwa hazijakamilika"


Tamasha hili lilozua mjadala siku ya leo katika Mitandao Ya Kijamii ambayo blog hii imetupia kwenye Blog lilikuwa likijumuisha wanamuziki Christina Shusho, Upendo Nkone, Martha Mwaipaja, Faraja, Sarah Mvungi na Kabula John limesogezwa mbele mpaka taratibu za ndani zitakapokuwa zimekamilika.