Saturday, June 16, 2012

 Mtumishi wa Mungu johannes akihubiri

 Sherehe hizo za Ishara na miujiza zinaendelea leo njoo wewe walete na wengine walete wagonjwa na wenye shida mbalimbali mungu atawafungua. sherehe hizo zinatarajiwa kuisha Jumapili usitamani kukosa. vilevile mahubiri hayo yanrushwa moja kwa moja na redio wapo unaweza kusikiliza popte ulipo duniani

No comments:

Post a Comment