Conference na mkutano mkubwa wa injiri mjini arusha unatarajiwa kufanyika kuanzia
tar 14-19 agosti mwaka huu '
This blog is all about gospel news , social and entertainment issues karibu kwenye ulimwengu huu.
Saturday, August 11, 2012
KILICHO JILI LEO KWENYE LOVE TANZANIA FESTIVAL
Mtumishio wa Mungu Andrew Palau
Masanja mkandamizaji akishambulia jukwa la Tanzania Love Festival
Mwimbaji Don Moen akisifu na kuabudu na umati wa watu waliofika kwenye viwanja vya Jangwani
Mwimbaji Don Moen akisifu na kuabudu na umati wa watu waliofika kwenye viwanja vya Jangwani
Friday, August 3, 2012
MAKANISA 800 KUKUTANA KWA PAMOJA NDANI YA LOVE FESTIVAL TANZANIA
MAKANISA 800 KUKUTANA KWA PAMOJA NDANI YA LOVE FESTIVAL TANZANIA
† Miwani 10,000 za kusomea kugawiwa Bure
† Wafanyabiashara wakubwa na viongozi wa serikari kuinjilishwa kupitia Evening Dinner
† Kikundi maalumu cha Michezo ya Baiskeli kuonyesha ufundi wa kuchezea baiskeli
† Tofauti
na Donnie Moen, Nicole C Mullen ,Christina Shusho,John Lissu,Pastor
Safari Paul wa DPC kuongoza Love Tanzania Festival Praise Team
Love
Tanzania Festival ni kusanyiko kubwa la kihistoria litakalofanyika
kuanzia tarehe 11-12/08/2012 katika viwanja vya Jangwani kuanzia saa
saba mchana mpaka saa 2 Usiku.Kwa mujibu wa mmoja wa waandaaji wa
kusanyiko hilo Brother Prosper Mwakitalima ameiambia Hosanna Inc kuwa
katika kufanikisha kusanyiko hilo makanisa zaidi ya 800 yameshiriki
katika maandalizi ya tukio hilo maalumu lenye lengo la kuwakutanisha
watu wa dini,kabila,rika zote kwa lengo la kumtukuza Kristo Yesu.
Kwa
mujibu wa Mwakitalima kabla ya shughuli ya tarehe 11 na 12 kuna
shughuli mbalimbali ambazo Love Tanzania Festival itakuwa ikizifanya kwa
jamii ya Tanzania.
Ifuatayo ni Ratiba ya shughuli nzima za LOVE TANZANIA FESTIVAL.
Tarehe 5 August 7:00 Asubuhi – 10.00 Asubuhi
Mbeba
maono wa Love Tanzania Featival mtumishi Andrew Palau atahubiri ibada
zote mbili katika kanisa la Upanga City Christian Centre (UCC)
![]() |
Muimbaji mashuhuri Nicole C Mullen atahudumu
|
Tarehe 7 August 10 Asubuhi
Kutafanyika Mkutano wa waandishi wa habari(Press Conference)
katika Ukumbi wa TBD ambapo Andrew Palau akiambatana na wachungaji,
Maaskofu,waimbaji na kikundi cha waonyesha michezo ya Baiskeli watakuwa
wakiongea na waandishi wa habari.
Usiku
huo wa Tarehe 7 kuanzia saa 11.30 jioni katika ukumbi wa KARIMJEE
kutafanyika WOMENS DINNER ambapo kamati imewakaribisha zaidi ya wamama
600 nao watapata nafasi kusikiliza na ya kubadilishana mawazo na Andrew
Palau.
Tarehe 8 August 12:00 jioni
Katika Ukumbi wa Karimjee Hall kutafanyika hafla ya chakula cha jioni
ambapo viongozi mbalimbali wa serikali na wafanyabiashara wakubwa
watapata nafasi ya kukutana na Palau ambapo mtumishi huyo atatumia
nafasi hiyo kumtangaza kristo kwa tabaka hilo la watanzania ambao kwa
namna moja au nyingine limekuwa ni vigumu kufikiwa na injili ya Yesu
kristo.
Tarehe 10:August 8:00 Mchana – 9:00 Jioni
Kutafanyika
maozoezi(Rehesal)ya michezo ya Baiskeli ambapo kikundi cha JUNGLE RUSH
FMX kutoka Afrika ya Kusini kitakuwa kikifanya mazoezi hayo ili kujiweka
sawa.Baada ya mazoezi hayo kutafanyika MAOMBI rasmi kwa ajili ya
kuuweka wakfu uwanja wa Jangwani kwa ajili ya shughuli nzima ya tarehe
11-12.
VITUO MAALUMU KWA AJILI YA CLINIC YA MACHO
Love
Tanzania Festival siyo tu itahusisha kuponya ROHO za watu kupitia neno
la Mungu, pia watakuwepo Madaktari maalumu wa macho kutoka Marekani na
watashirikiana na madaktari wa ki-Tanzania ambapo watakuwa wakipima watu
mbalimbali wenye matatizo ya macho BURE, wale wenye matatizo ya kutoona
vizuri maandishi watapewa MIWANI za kusomea BURE.Jumla ya miwani
zipatazo elfu kumi(10,000) zipo kwa ajili ya kugawiwa kwa watanzania
ambao watabainika na matatizo hayo, Ratiba ya Clinic hiyo itakayokuwa na
vituo vinne ni kama ifuatavyo.
Kituo 1:St Nicholaus Anglican Church –ILALA
Kituo cha 2:Tanzania Assemblies of GOD (TAG-Mbagala)
Kituo cha 3:Lutheran Chuch – Vingunguti
Kituo cha 4: Baptist Mission Church – Magomeni
Kliniki zote hizi zitakuwa zinaanza saa nne asubuhi mpaka saa kumi jioni
![]() |
Donnie Moen kuhudumu |
RATIBA YA LOVE FESTIVAL TANZANIA
RATIBA YA LOVE FESTIVAL TANZANIA
5 August,2012
CITY CENTRE CHURCH T.A.G (UPANGA)
7:00 A.m. / 10:00Am.
Andrew Palau will Preach at both Sunday Service
7 August ,2012
PRESS CONFERENCE
10:00a.m.
Location TBD. All Media Houses will be invited.
Bishops, Local Artists, Andrew Palau and BMX team will address the media.
6 - 10 August ,2012
READING EYE GLASS CLINICS
10:00a.m-4:00p.m.
St. Nicholas’ Anglican Church (Ilala)
Tanzania Assemblies of God (TAG) (Mbagala)
The Lutheran Church (Vingunguti)
Baptist Mission Church (Magomeni)
*10,000
Pairs of Reading Glasses will be available at these 4 locations for
free. US and Tanzanian Eye Doctors are partnering together under Love
Tanzania to bring a tremendous gift in these 4 communities. Come Early
to see the Doctor and receive a free pair of reading glasses
6 - 10 August ,2012
SOCCER + BASKETBALL CLINICS
9:00-11:30a.m / 1:30-4:30p.m.
Play for Hope
15
Professional Soccer / Basketball coaches from Rwanda will host clinics
for thousands of kids in Ilala, Temeke and Kinondoni.
SCHOOL PRESENTATIONS
Duggie Dug Dug and a team of Volunteers will do presentations in 8 primary Schools.
Vic
Murphy, John Andrus (BMX ACTION SPORTS Team) will do Demos in 5 Primary
Schools and then will team up with the Play for Hope Afternoon Main
site. The Action Sports team will be joined by international evangelist
Mike Parker and a team of volunteers.
7 August ,2012
WOMEN’S DINNER
5:00 p.m. Karimjee Hall
Matron
of Honor, Evelyne Warioba, and the LTF Women’s Committee are inviting
600 Women to an elegant dinner to hear Wendy and Andrew Palau share
their story.
8 August ,2012
BUSINESS AND CIVIC LEADERS DINNER
6:00 p.m. Karimjee Hall
600 Government, Corporate CEOs, Dar es Salaam leaders will be invited to another special Dinner moment with Andrew Palau.
*NOTE:
Events at Karimjee are not open to public to attend. These two dinners
are invitation only events. If you as Media desire to attend to cover
the story please contact Lillian to indicate an interest to attend.
10 August ,2012
FMX (MOTOR CROSS) PRACTICE
2:00-3:00 p.m. Jangwani Ground
JUNGLE
RUSH FMX from Joberg will be onsite getting ready for Love Tanzania
Festival. Cameras are encouraged and live shots are available for
Evening News Stories.
DEDICATION PROGRAM
3:00-6:00 p.m. Jangwani Grounds
All Volunteer Workers will be asked to attend this dedication time. Potentially 2,000-3,000 workers will attend.
Saturday – Sunday 11-12 August,2012
LOVE TANZANIA FESTIVAL WITH ANDREW PALAU
1:00 – 3:00p.m
CHILDRENS PROGRAM
Games, Jumper Castles, Soccer Clinics and DUGGIE DUG DUG
3:00-4:00p.m.
ACTION SPORTS DEMOS
FMX/ BMX presentation
4:00-8:00p.m.
MAIN STAGE
THE VOICE
CHRISTINA SHUSHO
JOHN LISU/ SAFARI PAUL
National Worship Leaders
MASANJA – Faith Story
International GOSPEL MUSIC artists
DON MOEN
NICOLE C. MULLEN
DAVE LUBBEN
Each
day the Festival will feature a special presentation of LOVE and a
message of Hope from international Evangelist Andrew Palau.
Thursday, August 2, 2012
Saturday, July 14, 2012
TAARIFA ZILIZOINGIA:MKURUGENZI WA TANESCO ASIMAMISHWA KAZI
MKURUGENZI Mtendaji wa Tanesco Amesimamishwa na Bodi ya wakurugenzi wa Shirika hilo ili kupisha Tuhuma zinazomkabili kuhusu ubadhilifu wa shirika na matumizi mabaya ya ofisi.Uchunguzi huo utafanywa na mchunguzi huru.Pamoja naye ameondolewa na wenzie kama mkuu wa fedha wa shirika na mkuu wa manunuzi ....Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi
Wednesday, July 4, 2012
Mwl Christopher Mwakasege mnamo tarehe 17-19 August 2012 anatarajia
kuwa mnenaji katika Summer Conference 2012 itakayoyanyika nchini
UINGEREZA jimbo la MILTON KEYNES,Kongamano hili limeandaliwa na umoja
wa watanzania wakristo waishio katika bala la Ulaya(CITE).
Kwa mujibu wa mmoja wa viongozi wa CITE Mch Emmanuel Chatawe, CITE SUMMER CONFERENCE 2012 itafanyika katika ukumbi wa
Oakgrove Leisure centre Brickhill Street Middleton Milton Keynes MK10 9JQ
17/08/2012 Time 2:00pm-9pm
18/08/2012 Time 10am-9pm
19/08/2012 Time 11am-7am
Kwa mawasiliano zaidi
Rev. Chatawe 07944632826 ,
Pas. Kimani 07522050673,
Sis Jane 07522302935 au
Sis. Flora 07916160641
Chakula cha mchana kitatolewa Jumamosi na Jumapili kwa wote watakaohitaji kwa Paund 3(£3.00).Wote mnakaribishwa
Subscribe to:
Posts (Atom)