MKURUGENZI Mtendaji wa Tanesco Amesimamishwa na Bodi ya wakurugenzi wa Shirika hilo ili kupisha Tuhuma zinazomkabili kuhusu ubadhilifu wa shirika na matumizi mabaya ya ofisi.Uchunguzi huo utafanywa na mchunguzi huru.Pamoja naye ameondolewa na wenzie kama mkuu wa fedha wa shirika na mkuu wa manunuzi ....Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi
No comments:
Post a Comment