Thursday, June 21, 2012

LIVING GOSPEL MINISTRY:                                  Stand Up Gospel C...

LIVING GOSPEL MINISTRY:                                  Stand Up Gospel C...:                                  Stand Up Gospel Comedy ndani ya City Christian Centre jumapili hii  The King of Stand up Gospel Comedy..
The King of Stand up Gospel Comedy in Tanzania Prezo Chavala akiwa katika moja ya harakati on stage

Baada ya kufanya Tamasha la KUCHEKA TENA la mwisho pale Landmark Hotel,Ubungo mwezi wa tatu na hatimaye Arusha mwanzoni mwa June hatimaye mkali na muasisi wa christian comedy nchini Tanzania anatua tena jijini Dar es salaam kwa Tamasha lake la nne toka ameanza mwishoni mwa mwaka jana pale Ubungo plaza.

Yaani ni kucheka na kucheka na kucheka tena huku ukimsifu Mungu na kujifunza yapasayo kutenda katika maisha yako ya utauwa.Tamasha hili litawasimamisha Up Coming Comedians wa kutosha katika segment maalum ya OPEN MIC, na wale ambao wamezoeleka kama Richard Chidundo,Gerald Mrema,Josephine na wengine watakuwa sambamba na waimbaji kama

Sarah Shila,
Deogratius, Meshack,
Gee & Seth,
WordAlive
Dar es salaam Gospel Bands,
Golden Eagles and
1st Q dance groups

Tamasha Hilo Litaanza Saa 9:00jion-1:30 Usiku
Ukumbi:City Christian Centre(CCC)
Kiingilio 5000/=
Na 2000/= Tu Kwa Watoto.

Katika SERIES hii bado tuko Msimu(SEASON) wa kwanza na hili Tamasha lijalo litakuwa Tamasha la tatu kwa Dar es salaam na ni Episode II. Kama ilivyotaarifiwa mapema Tamasha hili la jpili ijayo(24th June 2012) pamoja na mawili yafuatayo kwa hapa Dar(Yaani Tar 23th Sept na 23/30th Novemba-mkesha wa mwisho) yatafanyika katikaukumbi wa CITY CHRISTIAN CENTRE-UPANGA(Mkabala na Mzumbe Dsm)

Tamasha Hili Limedhaminiwa na Great Potentials Ltd,City Christian Centre(Ccc),TouchingVision,Author2readers,Wordalive Church,Olympus Computers And Chavala Ideas Platform.

No comments:

Post a Comment