Sunday, February 2, 2014

MENEJA WA HABARI MAALUM FM AWATAKA WASIKILIZAJI WA HABARI MAALUM FM KUENDELEA KUWA WAVUMILIVU

                                                    Daniel Magulu Fm Manager Habari Maalum Fm
Meneja wa habari maalum |Fm Daniel Magulu amewataka wasikilizaji wa 97.7
habari maalum Fm kuwa wavumilivu kwasababu vitu vizuri vinakuja kupitia radio
yao hii ni baada ya wasikilizaji wengi kuulizia Radio itaanza lini rasmi baada ya
kuwa kwenye majaribio zaidi ya miezi 6 sasa
Magulu alikaririwa na mwandishi wetu hivi karibuni akiwa ofisini kwake
kuwa bado hawajapata kibari cha kuanza kurusha matangazo kutoka TCRA hivyo
amewataka wasikilizaji wa 97.7 kuendelea kuwa wavumulivu lakini pia waendelee
kuitegea 97.7 Habari Maalum Fm kila wakati.


No comments:

Post a Comment